Zabuni  

Katika habari

          The Foundation for Civil Society inapenda kuwatangazia AZAKi zilizopata ruzuku kutoka kwa The Foundation for Civil Society&n..
Mafunzo kwa waganga wa tiba za jadi yaliyotolewa na  shirika la Elimisha Jamii wanawake Songea (EJAWASO) na kuwezeshwa na Foundation for Civil Society kwa waganga wa tiba za jadi  wilayani Songea yameleta  mabadiliko chanya juu ya mwenendo wa maadili na matendo katika utoaji huduma kwa wagonjwa unaofanywa na  waganga hao. ..
17 Julai 2006, Tunashukuru  kupata fursa hii ya kuwasilisha Taarifa ya mwaka 2005 ya Foundation For Civil Society, ambayo ni ya tatu tangu kuanzishwa kwa Foundation. Pia ni furaha kwetu kuona kwamba Foundation imeweza kumpata Mkurugenzi Mtendaji mpya, Bw.John U..
Katika mzunguko wa kwanza wa maombi ya ruzuku ya kazi (medium grant) yaliyofanywa mwezi Februari 2006, Jumla ya asasi za kiraia 19 zimefaulu kupatiwa ruzuku ya shilingi milioni 527.5 kutoka the Foundation for Civil Society. Mashirika hayo ni kama ifuatavyo;     ..
The Foundation for Civil Society Tanzania, hivi karibuni imempata Rais wake wa kwanza kufuatia mabadiliko ya mfumo wa uongozi wa shirika. Rais huyo ni Bwana Alais Ole Morindat (Pichani). Bwana Morindat amechaguliwa na Wanachama Wapya (Members)..

Grants Database

Search our grants database

Wasifu wa Mwanachama

Tafuta

Opinion Poll

Asasi za kiraia je zinafanya kazi vizuri katika kuleta Maendeleo nchini?

Nakubali
Nakubaliana kiasi
Sikubali



Poll Results
Each week, a new question is put to people around the world on the The Foundation website. Let us know what you think. If you have any questions you would like to ask, please email me here
   
   
 

Copyright 2007 The Foundation for Civil Society. All Rights Reserved.

Design by Darcity