![]() ![]() |
![]() ![]() ![]() ![]() ![]() ![]() |
Katika habariThe Foundation for Civil Society inapenda kuzijulisha AZAKi zilizoorodheshwa hapa chini kuwa zimechaguliwa kushiriki katika Tamasha na Maonesho ya AZAKi mwaka 2010. Tamasha na Maonesho hayo yatafanyika Zanzibar katika Hoteli ya Bwawani kuanzia tarehe 26 - 28 Mei 2010
Kwa taarifa hii, washiriki kutoka mikoani wanatakiwa kuwasili Zanzibar katika tarehe zinazoonyeshwa h..
Kwa mara kadhaa kundi la watu walemavu limekuwa likisahaulika katika masuala mbalimbali katika jamii hali ambayo inazidi kulifanya kundi hili kuwa na unyonge kila uchao.
Licha ya serikali kutambua uwepo wa kundi hili bado juhudi zinazochukuliwa hazitoshelezi kukidhi mahitaji ya msingi ya watu wenye ulemavu ambao wana mahitaji yao tofauti kulingana na hali..
The Foundation for Civil Society inapenda kuwatangazia Tuzo ya Asasi Bora kwa mwaka 2009/10. Tuzo inatoa fursa ya kutambua mafanikio, ubunifu wa AZAKi nchini Tanzania ambazo zimetoa mchango wa kipekee kwa kuwajengea uwezo wananchi kama njia ya kupambana na umasikin. Kwa maelezo zaidi bonyeza ..
The Foundation for Civil Society inapenda kuwajulisha AZAKi zote Tanzania kuwa inandaa Tamasha na Maonyesho ya AZAKi litakalofanyika Unguja - Zanzibar Mei 2010.
Lengo la tamasha na Maonesho hayo ni kukuza Taswira njema ya AZAKi kwa umma pamoja na kusherehekea mafanikio ya AZAKi katika kuleta maendeleo kwa wananchi hasa yale makundi yaliyo pembezoni na kat..
The Foundation for Civil Society inapenda kuzijulisha AZAKi zilizoorodheshwa kwenye kiambatisho kuwa zimechaguliwa kushiriki kwenye Tamasha la Saba la Asasi za Kiraia litakalofanyika jijini Dar es Salaam kwenye hoteli ya Blue Pearl (Ubungo Plaza) tarehe 27 – 29 Oktoba, 2009..
|
Grants DatabaseSearch our grants database
Wasifu wa MwanachamaTafuta
Opinion Poll
|
| |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
Copyright 2007 The Foundation for Civil Society. All Rights Reserved. Design by Darcity | ||||||||||||
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|